Kumbe na Samia Suluhu akifiwa inamuuma, au anajifanyisha kuumia?

Kumbe na Samia Suluhu akifiwa inamuuma, au anajifanyisha kuumia?

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,099
Nimeshangaa eti Samia naye anaonesha kuumia na kusikitisha kuona Jenista Mhagama kafa. Hivi analia kweli au anajifanyisha? Hahahaaa... 🤣🤣

DuniašŸŒŽ simama nishuke.

Msanii wa Royal tour analeta maigizo kwenye misiba ya watu
 
20251204_231337.jpg
 
Anafuta jasho we unasema anaumia
 
Nimeshangaa eti Samia naye anaonesha kuumia na kusikitisha kuona Jenista Mhagama kafa. Hivi analia kweli au anajifanyisha? Hahahaaa... 🤣🤣

DuniašŸŒŽ simama nishuke.

Msanii wa Royal tour analeta maigizo kwenye misiba ya watu
View attachment 3515183
SIku zote mchawi aliyemroga marehemu huwa anaongoza kwa kulia msibani
 
Mwizi na mchawi ni watu wawili wabaya sana, anakufinya usiku halafu anahudhuria kwenye tukio na wananchi wema na anaonesha kuumizwa sana na tukio.
 
Nimeshangaa eti Samia naye anaonesha kuumia na kusikitisha kuona Jenista Mhagama kafa. Hivi analia kweli au anajifanyisha? Hahahaaa... 🤣🤣

DuniašŸŒŽ simama nishuke.

Msanii wa Royal tour analeta maigizo kwenye misiba ya watu
View attachment 3515183
Huyu ni msanii, umesahau ike singo ya nywinyi, na ike ya who are you, kwa sas azinatrend, bado ile muvi aliigiza, she makes a good actor kwa kweli
 
Back
Top Bottom