Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

Butundwe

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
303
Reaction score
52
Jambo wakuu, jioni hii hapa Mwanza tumeshudia matangazo mitaani ya mwaliko wa mkutano wa chama cha ACT kesho ktk viwanja vya shule ya msingi mbugani miongoni mwa wageni wakitaifa ni pamoja na katibu mkuu taifa Samsoni Mwigamba kwa mujibu wa matangazo
 
Jambo wakuu, jioni hii hapa Mwanza tumeshudia matangazo mitaani ya mwaliko wa mkutano wa chama cha ACT kesho ktk viwanja vya shule ya msingi mbugani miongoni mwa wageni wakitaifa ni pamoja na katibu mkuu taifa Samsoni Mwigamba kwa mujibu wa matangazo

Allience for Cowards Tanzania ha ha ha wapi CCJ?
 
samson mwigamba ni kiongozi msomi na makini sana,,
 
Hiki chama kimekuwa mwiba kwa Chadema sijui kwa nini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom