Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond


Hahaaaaa safi sana hili kavu live bila chenga mwanawane inaitwa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Kwahyo wao wana discuss watu wengine wawapendao ni mwiko. Watajijeba kweli kweli😱😱
Chezea JIHOGO LA JaNG'OME lililozua mambo makubwa hadi kumuliza MTU mzima kwa Serengeti boy si mchezooooo eeeeh.:thumbup::thumbup::thumbup:
 

Mkuu Kimbley kuna chokoraa huyu hapa.
Wema hatumtukani ndiyo sifa yake kuu
Hivi wewe hata huoni haya ....kumsuport mburula kama wema?
Mi ningekuwa na dada kama wema ningemtoa msaada tu akatumike kwa watoto yatima kwa kumchezea
 
Last edited by a moderator:

hahahahahah...kweli nimemini maneno ya wadau...mashabiki wote wa wema akili zao kama za wema
 

Hahahahahaaa, JIHOGO LA JANG'OMBE la Saleh kidogo limtoe roho mama chibu.
Mama kaugua kapelekwa hadi India ugonjwa hauonekani kumbe mama ana pressure ya kulikosa JIHOGO!...Lol
 
Mkuu Kimbley kuna chokoraa huyu hapa.
Wema hatumtukani ndiyo sifa yake kuu
Hivi wewe hata huoni haya ....kumsuport mburula kama wema?
Mi ningekuwa na dada kama wema ningemtoa msaada tu akatumike kwa watoto yatima kwa kumchezea

Mnhhhh!!best haya maneno kuntu!!ahahaha
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa, usione vyaelea vimeundwa mama.
Domo akadaka jimama kwenye ndege kumbe jimama la watu linamfuata baby dady Katunzi! Mwenyewe akaona kapaaata, na tungojr yetu macho.....kikubwa uzima tu.

Teh teh teh 😀😀😀😀😀😀 jimama alilidaka fasta hilo baada ya kukutana nalo na anavopenda kiki mjini sasa madai yao eti wanafanya project yao wawili. Maskini hakujua kumbe yaliyomo yamo eeeh.
Mwenye mimba katunzi kapiga kimya only time will tell kwakweli.
 
Eti watumiaji wa mitandao haya waliwasaidia siku wanavuana nguo kwa mara ya kwanza atiiiii?
 
Mkuu Kimbley kuna chokoraa huyu hapa.
Wema hatumtukani ndiyo sifa yake kuu
Hivi wewe hata huoni haya ....kumsuport mburula kama wema?
Mi ningekuwa na dada kama wema ningemtoa msaada tu akatumike kwa watoto yatima kwa kumchezea

Kwani tatizo liko wapi? Mimi hapa namsupport mama chibu katika kampeni yake ya kurudisha JIHOGO lake la JANG'OMBE wewe kimekuchoma nini?
Au wewe ndio mke wa Saleh wa sasa nini? Roho inakuuma kisa namkampenia mama kurudisha serengeti wake?
Halooooo, pole zako.Wa kwanza atabaki kuwa wa kwanza tu.
Mimi pia ni mwanamke, kwahiyo nahisi maumivu sawa na ya mama chibu, dogodogo lazima arudi ili mama apone.
 
Last edited by a moderator:
Sikujua kama Diamond huwa anaileza jamii na wadaku katika kila hatua anayopita katika kutongoza mwanamke hadi kufikia mahusiano. Namna stori ilivyoandikwa ni utadhani hao wanaojiita chanzo cha habari huwa wanataarifiwa kila anachokifanya Diamond kila siku. Eti uhusiano ulikuwa wa muda mfupi, kwa mtazamo wao ni kwamba usiano wa Diamond na Zari ulianzia kwenye ndege pindi zilipopostiwa zile picha Diamond akiwa na Zari kwenye ndege. Hata Wema alibisha sana kuhusu suala la kutoshika Mimba ila mwisho wa siku nafsi ilimsuta na akaamua kusema ukweli. Ni bahati mbaya kwamba kutoa mimba ni kosa la jinai hivyo sitegemei hao akina Jokate wala Penny wakakiri mbele ya jamii kuwa walitoa mimba.
 

Wanapenda sanaa.Ndio maana wanaanika hata jinsia ya mtoto, shopping mpaka wanavobinyana matako.
Halafu hili ni jukwaa la hao mastar.
 
wabongi tuache unafki mimba ya baba zao

sijui tukoje sie
hv kwa style eti tunategemea uchumi ukue..

mavi yake shigongo...
 
hahahahahah...kweli nimemini maneno ya wadau...mashabiki wote wa wema akili zao kama za wema

Hahaaaaa keep on guessing umejuaje sie mashabiki wa Wema we we ndo una akili eeeeh. Kwanza hii topic haimuhusu Wema kila mahali una mtaja unaonyesha ni jinsi gani anakuumiza eeeh. We we mwenye akili ya tofauti mbona umemtaja Wema Yale Yale nothing new😱😱😱
 
Sasa Katunzi mnataka ndoa yake ivunjike ili iweje, udaku huu ingekua amelala nae au kutoka nae basi mimba hiyo ingekuwa na mawiki zaidi ya hamsini sababu zile picha walipiga na dada ake Zari na shemeji na niece na Sintah siku hiyo.

Hamna kingine maneno tu kumchafua picha za wao mahaba teletele ndani ya SA zinawamaliza watu.

Mwacheni Katunzi na ndoa yake, au mnataka W amfate maana kila atajwaye kupitia Zari na w huyooooo

Mwacheni Zari na heshima zake
 

Kuna siku walienda zanzibar, wakapanda boti, akamwambia 'Nassib funua iyo vesti', akavuta penso ya Nassib kama anachungulia kidole mle ndani afu akasema , 'Kifesi please take a photo!'.
 

Lini waliduana si ndio nyie mlisema sijui tarehe ambayo sasa imeshapita au?

Mnahamu isiwe ya Diamond, tuwaache walale jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…