mbavu zangu leo!!khaa! we kiboko,bora yako umebahatika kuona sura ya mwanae.
Mkuu...unajua mimi hua nashangaa saana.....hawa watu wanaoshabikia watu wa dizaini za wema....Ni shida
She is a proffesional Pros
Mie tena hahaahaaa yule huwaga ni shoga yangu kitambo yaani sasa nilienda kama shostito si unajua ukienda kwa mzazi huulizwi nikaingia "oooohh shost hongela mama maana ulivyosemwa nikahisi utazaa fenesi oooww jaman kumbe katoto kazuri ivi... mweeeeeee kumbe umbea tuu"
Bola ata shoga angu yule hayupo humu maana sijui angenihisi
kwa kidume ukipiga bao la mimba unajua tu hapa imeingia
Sasa mimba abebe zari
Mimba abebeshwe na Diamond
Wanaoumia kina wema na alikiba
Sasa si majanga hayo? by snura
Mimba sio yako....mbebeaji sio wewe...mbebeshaji sio wewe...sasa maumivu ya nini kwako?
Usijali nitamweka siku moja kweny acc yangu ya IG maana namiliki account moja kubwa sana ya michambo. Au nitamleta apa. Najipanga niende nikawe dada wa kazi siku moja mpaka nihakikishe nimempiga picha.
Yaan huwez amin ata madam.wema hana picha ya mutoto
halafu cha ajabu katika wanawake woote waliotembea na diamond simuoni aliyetulia,wote ni wachafu wa tabia!kama yule king wao anavyobebaga ma house girl
Jamani saa 10 budget inasomwa,punguzeni umbea., msikie budget ya mwisho ya MKESHA ANGANI.
Mimba kabeba Zari, nyie mnamjibia kwa mamlaka gani...
Kinawachoma choma sie kumjadili Zari hapa ndio mahala pake.
Hapa King Kiba wala hausiki.
yani watu wanasubiri tu waone mdomo wa mtoto wa Di. Na hakyanani wasipofanana !! Spati picha.
Na kiingilio ni 100000 asiyetaka anaacha
Mie tena hahaahaaa yule huwaga ni shoga yangu kitambo yaani sasa nilienda kama shostito si unajua ukienda kwa mzazi huulizwi nikaingia "oooohh shost hongela mama maana ulivyosemwa nikahisi utazaa fenesi oooww jaman kumbe katoto kazuri ivi... mweeeeeee kumbe umbea tuu"
Bola ata shoga angu yule hayupo humu maana sijui angenihisi
duuuh! haatarii!
Kudadeki jamaa anabeba ma bek tatu?
Noma sana
Umeniquote mimi badala ya freeland
Mmefanana kama mapacha.
My bad!
Ila nmemention ataitika tu
Mie mgeni jaman..sijui nilichelewa wap jaman...ngoja niendelee kujifunza
Mimi nangoja viguru vya mtoto.
Dai akisimama ni kama kasimamia mikono.
Huwa mnaiona miguu ya Mama ubaya tu.
Kweli wewe popo...wewe unapata wapi mamlaka ya kumjadili zari kama unaona huyo kibakuli hafai kujadiliwa hapa?
Point is ...Nyie watu mimba za watu zinawahusu nini?
Usikute we mwenyewe hapo umetoa mimba 300 kama the Profesional Prost role model wenu wema