cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
kwani kulelewa na mama ndio kuwa na tabia mbaya?? shame on u! do u think they wished kulelewa bila both parents! ngoja mkeo aondoke au afe, then uje usikie mtu anamkashifu mtoto wako kwa kulelewa na wewe peke yako............... afta that njoo u-argue hapa! mmmmhhhhhh!