Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,779
- 218,404
Wewe ni ndugu yake na RPC wa DSM ?Kamera inaonesha 2008 kwenye video
Wewe ni ndugu yake na RPC wa DSM ?Kamera inaonesha 2008 kwenye video
Acha kukariri! Saa yako ya mkononi ikionesha kuwa sasa ni saa nne ucku wakat ni saa saba mchana coz huja isset utaenda kulalaKamera inaonesha 2008 kwenye video
Kamera inaonesha 2008 kwenye video
Lakini mbona takukuru nachenyewe ni chombo moja wapo kati ya vile ambavyo walitangaza kutokuwa navyo imani sasa inakuwaje tena wamepeleka ushahidi si wangewapekekea hao Scott land?Chadema wanatia huruma! Ukiona walivyoongozana kwenda TAKUKURU msigwa,nasari na lema utafikiri watoto yatima
Yaani siasa za Tanzania ni sawa na mtu anayetumia nguvu nyingi na muda kuonyesha kuwa ana pesa badala ya kutafuta pesa.
Malumbano hayaishi. Lini tutaona video za maendeleo yaliyofanywa na wabunge na madiwani katika maeneo yao ya kazi.
Jiongeze tumia hata Ubongo wa Akiba kuficha Aibu hiyo yaani tarehe 2008 mkuu wa wilaya alikuwa huyo wa sasa? Madiwani walikuwa hao? Tarehe ni mtu mwenyewe huiseti ukisahau inachukua tarehe uliyoiacha kwenye chombo cha kurekodiaKamera inaonesha 2008 kwenye video
Uwezo wako je wakufikiria unaonaje? Ni matukio ya 2008 au umelewaKamera inaonesha 2008 kwenye video
Umepungukiwa akili hamna namna ya kukusaidia labda km ingekuwa umepungukiwa damu tungekuongezeaChadema wanatia huruma! Ukiona walivyoongozana kwenda TAKUKURU msigwa,nasari na lema utafikiri watoto yatima