Kumbe mabinti ndivyo mlivyo?

Nimo mjumbe. Upendo kwanza fedha badae. Kusaidiana bila ya majungu ndio mpango mzimaa.

Nway ila mshauri ndugu yako aache kuanza kumtegemea mwanamke mpaka kwenye kulipa mahari.

sijui nyie ni kabila gani mnataka mwanamke ajinunulie pete ya uchumba?
 
Nway ila mshauri ndugu yako aache kuanza kumtegemea mwanamke mpaka kwenye kulipa mahari.

sijui nyie ni kabila gani mnataka mwanamke ajinunulie pete ya uchumba?

Hayo ni mambo ya wawili na makubaliano yao. Mahusiano ni kuelewana, kuvumiliana, na kusaidiana. Usikute mwanaume ni dhaifu Leo ukamdhalau kesho ukakuta ni mtu mwingine kabisa. Na hii inaleta heshima na kumbukumbu nzuri badae ya jinsi mlivyosaidiana kufikia malengo yaliyoweka furaha katika maisha yenu. Ndoa ni zaidi ya Pete, mahari kubwa, harusi kubwa ya kifahari, kipato kikubwa baina ya wanandoa n.k. wako waliovalishwa pete mpaka za diamond Leo ndoa zao ziko wapi?. Mf marehemu princess Diana. Wewe kama unajiweza show off yo self the way yo money leads you to do ila sio mtu afosiwe kufanya asipoweza kwa muda mfupi kiasi hiki akiwa bado yuko shule aachwe asomee ebo.
 
Hujapenda na umimi kwenye mahusiano huyaharibu kabisaa. Ka vipi mpotezee utafute ambaye ataruhusu mshahara wako kuishia saluni kusuka nywele na kuparua kucha.

no hapo nitakua najichumbia mwenyewe... afu atanidharau san... lazima jasho limtoke kwanza akishindwa ndo ntamsaidia,,uwezo anao sana
 
no hapo nitakua najichumbia mwenyewe... afu atanidharau san... lazima jasho limtoke kwanza akishindwa ndo ntamsaidia,,uwezo anao sana

Ni mtizamo hasi kwa mtu aliye timamu ktk eneo la mahusiano huwezi oa mtu unayemdharau au utakaye mdharau kwa jambo lolote lile.
 
Huyo jamaa amwambie bint hamtaki. Kama huyo dada hajajinyea, ndoa inahitaji maandalizi na maamuzi mazuri sio kuburuzana
 
My friend just play your part kwa kumshauri akikataa poa!
 

aha ha ha haaaaaa,zero brain😄😄


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
hapo ndipo ajifunze c mila analoambiwa na mke alifanye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…