Duuh lakini huyo jamaa ni bendera fata upepo cha msingi atulize akili, kwanini asifunguke kwa wazazi wa demu,kama vipi akache ndoa kwanza mpaka atakapo jiweka pouwa, kwani hapo kalazimishwa na niwangapi wanavalishwa pete na wanaachana hata kabla hawajafunga ndoa?
Na atataka kukuuzia boda boda sindio kurudishana nyuma kimaendeleo huyo demu ni zero brain!!