Kumbe mabinti ndivyo mlivyo?

Mwanangu we ni mwanaume mchulie jamaa kama ni ndugu yako....je ungemuacha amuoe huyo binti?
Kiukweli hapo hamna ndoa na atamsumbua sana huyo jamaa!

Jamaa yuko njia panda hapo awali hadi hivi sasa binti anaonesha upendo kwa jamaa ila hili ndilo linalomstua jamaaa amekubali la Pete amechukua vipimo vya kidole tiari Leo ndio nilikuwa nampeleka kwa sonata ila nimemshauri aache kwanza tumtathimini binti kwanza . Maana kama huu ni mwanzo kweli jamaa ataiona hela mwanamke ndani ya nyumba?. Anamwambia ati huko mbeleni watasaidiana ila si katika hili mh!. Kweli kuna future hapo?. Alafu anampiga jamaa ban asiombe ushauri kwa rafiki zake Bali mambo wayamalize wao wenyewe mh!. Ama anadhani friend wangu hawezi back out?.
 
Kama bado hajaolewa ni hivo tu akiolewa itakua ni wajibu wa mwanaume asilimia mia kutimiza matumizi ya nyumbani mwanaume hatakua na uhalali wa kuhoji mshahara wa mke wake
 
Reactions: J C

Asante mjumbe. Anasoma hivi sasa Mimi sijaanza funguka bado hata kidogo nawasoma wajumbe kwanza. Nikianza kufunguka nafunguka kisha na conclude na spiritual prayers.
 

Nikuulize wewe JC,huyo msichana angekuwa wako ungemuowa??
 

Asante mkuu
 

Asipeleke mahari wala nn atulie tu kwan wanamuonea na ndoa hazko hivo lazma kuwe na maelewano.Atulie kwa muda usiopungua miezi miwl watajfunza tu na km akiona hawajifunzi aahrishe kabisa
 
Mwanangu we ni mwanaume mchulie jamaa kama ni ndugu yako....je ungemuacha amuoe huyo binti?
Kiukweli hapo hamna ndoa na atamsumbua sana huyo jamaa!

Asante mjumbe
 
misschagga na ataumia vibaya ngoja uone mtu mzima anaingia choo cha watoto anakalia poti sasa ivi ndo yale lara1alikua anasema kuusu ndoa teh teh@Lara1 embu ukuje uku uone mambo yandoa haya fanya shuta!!

hawa hawana ndoa jamaa ndiyo anataka kuingia lakini naona kama jamaa anataka kubaka ndoa... aangalie asije bakwa yeye
 
Asante mkuu

JC watu wanaoana ili kusaidiana pia ktk maisha suala la ndoa naona ni dogo,je kwenye maisha ambayo tunategemea kifo kitutenganishe huyo msichana atamudu kusaidiana na mwenzie hasa wakishapata watoto??jiulizeni kwa nini hataki mwenzie aombe ushauri??Jamaa yao anajivika bomu mwenyewe,panapofuka moshi ujue pana moto na siku njema huonekana asubuhi.
 
Reactions: J C
Heee anataka binti ampe hela? Ili akajichumbie????

Huyo rafiki yako nae, anajijua uwezo hana kwa sasa kwa nini apelekeshwe?

Moyo mjumbe. Pia binti ndiye anayeforce na ukisoma vizuri Uzi utaona binti alimwambia jamaa kuwa mahari kwao anapanga binti muolewaji la sivyo kijana asingejiingiza kwani tunajua fika kuwa nowadays mahari na ghari sana . Sasa imekuwa kinyume chake. Ndio nikasemaaa kumbe ndio mabinti walivyo wanamvutia jamaa gizani kisha wanamlaluaa vibayaa.
 

Aibu ni kwa demu. Funguka mjumbee
 
Last edited by a moderator:
Mwache aowe na kama ni ndoa ya kanisani atakuja kunya mavi,wanawake wengine wajinga sana.

Fungukeni wajumbe jamaa apone. Maana maisha ya ndoa si lelemama hata kidogoo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…