Nani zaidi kati ya makabila haya

Nani zaidi kati ya makabila haya

Konaball

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
2,949
Reaction score
1,940
NANI ZAIDI
1. Mpare anayeenda benki na spana kufungua akaunt
2. Msambaa anayevua viatu kuingia kwenye taxi
3. Mzigua anayeingia kitandani na rula kupima atalala kwa muda gani
4. Msukuma aliye nurse anayemwamsha mgonjwa usingizini ili ampe dawa ya usingizi kwa sababu alikuwa amesahau
5. Mzaramo anayepunguza sauti ya tv ili asome sms ya simu
6.Mluguru anayepanda kwenye mwembe kuchagua yaliyoiva halafu anashuka na kokwa
 
Bora langu halipo hapo

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
ZAIDI NI MHAYA, anayechungulia chooni ili aone harufu ya kinyesi.
 
No 4 ndo mjanja. Pengine mgonjwa bila dawa anaamka katkat ya uck wakat inatakiwa alale mpaka kesho asubuh
 
Teh Teh Teh! Huyo wa mwisho ni "chiboko"
 
Langu halipo

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
NANI ZAIDI
1. Mpare anayeenda benki na spana kufungua akaunt
2. Msambaa anayevua viatu kuingia kwenye taxi
3. Mzigua anayeingia kitandani na rula kupima atalala kwa muda gani
4. Msukuma aliye nurse anayemwamsha mgonjwa usingizini ili ampe dawa ya usingizi kwa sababu alikuwa amesahau
5. Mzaramo anayepunguza sauti ya tv ili asome sms ya simu
6.Mluguru anayepanda kwenye mwembe kuchagua yaliyoiva halafu anashuka na kokwa
Bora kabila langu halipo hiyo mada hainihusu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom