Kuna possibility kubwa kwamba huyo mwenye mke amepewa mkanda na mmoja wa rafiki zake na yeye akaamua kuhakikisha. Bahati mbaya imekuwa ni kweli na ndiyo maana akazimia kwani inawezekana hakuamini hapo awali.
Otherwise asingelazimisha kutumia simu ya mgomvi wake hata kama alipewa offer ya kutumia simu nyengine.