ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 326
wakati kina Zitto wanapiga kelele dollar ilikua inauzwaje?2275/= kuna tofauti ya TZS 25, unadhani ni ndogo? Inaweza kuwa ndogo kama umezoea kushika m dola 10 - 100, wafanyabiashara ambao wanafanya biashara za $100k wanaona shida yake...umeelewa asha ngedere?