pipikijiti
JF-Expert Member
- Apr 25, 2017
- 309
- 406
Yan ukiwa na wanawake kama hawa raha tu
Kanifurahisha huyu wa pili yan anasema yeye atajificha aangalie hiyo game ili ajue ni wapi anakoseaga daaaah is this posible kwel.....Yan ukiwa na wanawake kama hawa raha tu
huyu anaonekana ni mzuri sana kifikra. hataki kufanya makosa. anaamini akicheki gemu linavyokwenda atajifunza mautunduKanifurahisha huyu wa pili yan anasema yeye atajificha aangalie hiyo game ili ajue ni wapi anakoseaga daaaah is this posible kwel.....
Mkuu naona umewahi kiti chakoHahaha wako vizuri..nawaona
wachache sana kamandaKumbe wake zetu wanatupenda na kutuamini kiasi hiki? safi sana
daah hicho sio kiti changuMkuu naona umewahi kiti chako
Dada yangu kwani wewe huwezi hivyoWatu na majibu yao