Nimeona leo ikulu, kanali ambaye ni mpambe wa rais kapiga salute kwa CDF ila kwa IGP kabana mikono tu na IGP na akabana.
Msioenda jeshini mnafahamikà. Kukiwa na pande 2 zinakutana Seniors za pande hizo ndio husalimiana na wengine mtabana mikono. Na katika hao Seniors, aliye mdogo kwa cheo ndio atamsalimia mkubwa aliye upande meingine.Nimeona leo Ikulu, Kanali ambaye ni Mpambe wa Rais kapiga salute kwa CDF ila kwa IGP kabana mikono tu na IGP naye akabana.
Mbona kanali kapiga salute kwa CDF!Msioenda jeshini mnafahamikà. Kukiwa na pande 2 zinakutana Seniors za pande hizo ndio husalimiana na wengine mtabana mikono. Na katika hao Seniors, aliye mdogo kwa cheo ndio atamsalimia mkubwa aliye upande meingine.
Pale waliosalimiana ni Rais na IGP na kwa kuwa IGP ni mdogo ndie aliyepiga saluti kwa Rais hivyo mpambe hapo hahusiki maana Senior upande wake keshasalimiwa yeye atabana mikono tu.