Ndo na mie nachojua.Mbona hii nyumba kapanga yeye na Kamikaze
Kuna jamaa alimwambia mwenzake kwamba napenda sana THREE PIECE!!
Jamaa ya yake kwa kutokujua three piece ni nini ye akarukia tuu!
Mi nazipenda sana hasa zikiungwa na nazi...
Wala sio huddah, hiyo ni nyumba wamepanga yey na kamikaze, japo huddah anamuhudumia huyu mpolopotoHongera zake endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
Ila navyofahamu hayo ni mambo ya Huddah...
Hiyo comment yako inaonesha wazi hilo.Umepima vp kama nimeumia ....
Sehemu hani inapo onesha............. manake hata mimi niliye iandika sipaoni.......hebu nioneshee.Hiyo comment yako inaonesha wazi hilo.
Hahahaha!!! Eti jux wazazi wake kama Davido bora ufute hii post post yako unawafananisha wazazi wake jux na Davido ata mwenyewe angekusikia angekukana...Juksi pesa alikua nayo nzuri tu kwanza wazazi wake wako vizuri sana kiuchumi...Pia jukusi kumbuka ni degree holder tena Elimu ya China so ukiachana na mziki kuna mishe anafanya tena nje plus na biashara kadhaa unapozungumzia juksi kiuchumi ni kama Davido both wazazi wao wako vizuri tofauti na kina sadala na mayonaizi walioanzia zero
jielewe wewe Jux ni sawa na Davido? Hahaha 😂Juksi pesa alikua nayo nzuri tu kwanza wazazi wake wako vizuri sana kiuchumi...Pia jukusi kumbuka ni degree holder tena Elimu ya China so ukiachana na mziki kuna mishe anafanya tena nje plus na biashara kadhaa unapozungumzia juksi kiuchumi ni kama Davido both wazazi wao wako vizuri tofauti na kina sadala na mayonaizi walioanzia zero
Uwe unasoma nakuelewa kenge wewe nimeandika "unapozungumzia jux ki uchumi ni kama unaongelea davido wote story zao znafanana sio kwamba wanalingana kiuchumi mkuujielewe wewe Jux ni sawa na Davido? Hahaha
Ukitulia ukasoma vizur utamuelewa jamaa anamaanisha Jux kwao tangu amezaliwa haijui njaa tofaut na wakina diamondHahahaha!!! Eti jux wazazi wake kama Davido bora ufute hii post post yako unawafananisha wazazi wake jux na Davido ata mwenyewe angekusikia angekukana...
No realistic of income vs expendituresKwani nini unadhan?
Hajui analosema, huyo jux tumemlea sana pale Tongwe record na mwenzake shetta wamekula ubwabwa kwenye magazeti na fid q sana sema cha msingi kila mtu apate mkate wake.Ukitulia ukasoma vizur utamuelewa jamaa anamaanisha Jux kwao tangu amezaliwa haijui njaa tofaut na wakina diamond
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Basi relaaaaaax.Sehemu hani inapo onesha............. manake hata mimi niliye iandika sipaoni.......hebu nioneshee.
Juksi pesa alikua nayo nzuri tu kwanza wazazi wake wako vizuri sana kiuchumi...Pia jukusi kumbuka ni degree holder tena Elimu ya China so ukiachana na mziki kuna mishe anafanya tena nje plus na biashara kadhaa unapozungumzia juksi kiuchumi ni kama Davido both wazazi wao wako vizuri tofauti na kina sadala na mayonaizi walioanzia zero
Ooooh bas sawa.No realistic of income vs expenditures