your so foolish!!! akili yako yaajabu sana dada yangu hata kama ulikuwa unatania but inaonekana tayari unaakili za kitoto sana wewe.
we embu shika adabu yako,soon me ndio nakuwa mke wa nassari....meza nyembe basi.....
we embu shika adabu yako,soon me ndio nakuwa mke wa nassari....meza nyembe basi.....
kwani ana miaka mingapi?lol
Ana miaka 27.
Hivi Anna makinda pia yuko single??
your so foolish!!! akili yako yaajabu sana dada yangu hata kama ulikuwa unatania but inaonekana tayari unaakili za kitoto sana wewe.
no....ni katika kutambua uwepo wa mahendsam bungeni.....
Nani wa ccm hendsam.....
(zingatia jukwaa tafadhali)
.kwani ana miaka mingapi?lol
stephen wasirra=ccm
cheki sura zenye mvuto......check mabody yao...no kitambi no safura.......