mtembea kwa miguu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 1,121
- 1,726
Etii? Ni wew ulieandika haya?Mbona mambo mengi yansemwa kuhusu Tanzania tu, sema hawataki mabaya yasemwe..Wakisema uchumi unakua kwa 7% mnakubalian nao na mnatangaza kila mahali, wakikosoa kidogo mnawaita mabeberu..Unafiki