Kumbe Jarida La The Economist Sometimes Linaweza Kuandika Jambo Jema Kuhusu Tanzania!, Laisifu Ifakara Health Institute kwa Utafiti wa Malaria Afrika.

Shida yako ni kumuombea mabaya Eric Kabendera, hakuna kingine.
Wanabodi,

Mimi ni subscriber wa hili jarida linalotoka weekly, siku zote likiandika chochote kuhusu Tanzania, huwa linaandika only the negatives tuu ya nchi yetu, rais wetu na serikali yetu, hivyo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kiukweli nakereka. Mfano rais Magufuli na serikali yake wanafanya makubwa, licha ya utajiri mkubwa wa madini na maliasili wa nchi yetu, na umasikini uliotopea wa wananchi wetu, na makusanyo yetu yote ya ndani, hayatoshi hata kukidhi mahitaji yetu ya kibajeti hali inayoifanya bajeti yetu siku zote kuwa ni bajeti tegemezi kwa wahisani, misaada na mikopo, lakini rais Magufuli kwa utashi wake, tena bila fedha hizo kuidhinishwa na Bunge, kwa ushujaa mkubwa aliamua kununua ndege kwa cash money kutoka fedha zetu za ndani, na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya tatu barani Afrika kumiliki ndege kubwa ya kifahari ya dreamliner, na labda Tanzania ndio nchi ya kwanza duniani kununua ndege kubwa kwa cash money, haya ni maendeleo makubwa ambayo jarida la the economist walipaswa kuyaona na kuyaangazia,kuhusu uchumi wa Tanzania, utajiri wa Tanzania, umasikini wa watu wetu maamuzi ya kishujaa ya viongozi wetu katika kugharimia miradi mikubwa ya kimaendeleo, ambapo japo wananchi wa hali ya chini wanazidi kupigika, lakini in a long run faida wataiona.

Rais Magufuli amefanya utashi mkubwa wa kisiasa kutekeleza miradi mikubwa ya kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR, Mradi wa umeme wa Stigler Gorje, miradi mikubwa ya miundombinu ya mabarabara na madaraja zikiwemo barabara za juu kwa juu, ni maendeleo makubwa ambayo the economist walipaswa kuyaona na kuyaangazia lakini wapi, wao kila siku ni negatives tuu na negativity.

Leo kwa mara ya kwanza, nimeshuhudia jarida hili la the economist likizungumzia kitu positive kuhusu Tanzania
Combating tropical disease Scanning mosquitoes with infrared light could help to control malaria
Their spectra are full of valuable information

Print edition | Science and technology
Dec 18th 2018

This article appeared in the Science and technology section of the print edition under the headline"Learning the lines"

Kumbe hawa jamaa wanaweza kuandika something positive kuhusu Tanzania, kwa nini haindiki mazuri yetu, kila siku ni mabaya tuu.

Pascal
Rejea
Haya ni baadhi ya makorokocho ya The Economist kuhusu Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la ujambazi vibaka kuongezeka ni kweli

Raisi Magufuli kwenye miundombinu anafanya vizuri lakini akumbuke Tanzania ni nchi ya masikini wengi waliobatizwa wakulima je kuna lipi jipya kwenye Kilimo na Afya?
Siwezi kubisha au kukataa. Ila kwa takwimu za polisi ni kwamba unyag'anyi wa kutumia silaha umepungua sana.
 
Siku zote natilia shaka shughuli za hii taasisi inayoitwa IFAKARA HEALTH INSTITUTE. Miradi yake ya "kudhibiti mbu wa malaria" na mingine inayofadhiliwa kwa pesa nyingi na mataifa ya nje inaniachia maswali na udadisi mwingi sana. Na hizi sifa wanazotoa hao mabeberu ndio tafakuri yangu inazidi kwenye ubongo. Muda utaongea, tusubiri tuone
Sawa, na viongozi wa hiyo taasisi hawajielewi.
 
Wanabodi,

Mimi ni subscriber wa hili jarida linalotoka weekly, siku zote likiandika chochote kuhusu Tanzania, huwa linaandika only the negatives tuu ya nchi yetu, rais wetu na serikali yetu, hivyo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kiukweli nakereka. Mfano rais Magufuli na serikali yake wanafanya makubwa, licha ya utajiri mkubwa wa madini na maliasili wa nchi yetu, na umasikini uliotopea wa wananchi wetu, na makusanyo yetu yote ya ndani, hayatoshi hata kukidhi mahitaji yetu ya kibajeti hali inayoifanya bajeti yetu siku zote kuwa ni bajeti tegemezi kwa wahisani, misaada na mikopo, lakini rais Magufuli kwa utashi wake, tena bila fedha hizo kuidhinishwa na Bunge, kwa ushujaa mkubwa aliamua kununua ndege kwa cash money kutoka fedha zetu za ndani, na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya tatu barani Afrika kumiliki ndege kubwa ya kifahari ya dreamliner, na labda Tanzania ndio nchi ya kwanza duniani kununua ndege kubwa kwa cash money, haya ni maendeleo makubwa ambayo jarida la the economist walipaswa kuyaona na kuyaangazia,kuhusu uchumi wa Tanzania, utajiri wa Tanzania, umasikini wa watu wetu maamuzi ya kishujaa ya viongozi wetu katika kugharimia miradi mikubwa ya kimaendeleo, ambapo japo wananchi wa hali ya chini wanazidi kupigika, lakini in a long run faida wataiona.

Rais Magufuli amefanya utashi mkubwa wa kisiasa kutekeleza miradi mikubwa ya kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR, Mradi wa umeme wa Stigler Gorje, miradi mikubwa ya miundombinu ya mabarabara na madaraja zikiwemo barabara za juu kwa juu, ni maendeleo makubwa ambayo the economist walipaswa kuyaona na kuyaangazia lakini wapi, wao kila siku ni negatives tuu na negativity.

Leo kwa mara ya kwanza, nimeshuhudia jarida hili la the economist likizungumzia kitu positive kuhusu Tanzania
Combating tropical disease Scanning mosquitoes with infrared light could help to control malaria
Their spectra are full of valuable information

Print edition | Science and technology
Dec 18th 2018

This article appeared in the Science and technology section of the print edition under the headline"Learning the lines"

Kumbe hawa jamaa wanaweza kuandika something positive kuhusu Tanzania, kwa nini haindiki mazuri yetu, kila siku ni mabaya tuu.

Pascal
Rejea
Haya ni baadhi ya makorokocho ya The Economist kuhusu Tanzania.
Komaa unachokitafuta unakaribia kukipata..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu rais anafanya makubwa lakini yote yameelekezwa kwenye ujenzi na miundo mbinu. Huku mtaani mazungumzo wa hela hakuna kabisa, ajira hakuna, ujambazi unaongezeka.
sionagi mantiki yako katika uongozi huu unaposema mzunguko wa hela hakuna hebufafanua mzunguko gani unautaka toa mfano pesa izungukeje ujambazi sasa hivi umepungua sana tena kwakiwango kikubwa =sana mwanzo tulikuwa tunateseka na mpaka na vipanya road sasa vikowapi huoni cha kumsifu rais tu mapak hapo? miundombinu inaboreshwa kwa ustawi wa baadae tena siyo muda mrefu kilasehemu ikifikika biashara itakuwa rahisi mtazunguka kila sehemu kuchuuza sijui unataka aje akuwekee hela mfukoni? inawezekana unaongea kiushabiki na kitu hukijui vizuri ni sawa na wanaodai katiba haifai ukiwauliza wabadirishe wapi kwenye katba hata hawajui hata hiyo katiba inazungumzia nini ni ulimbukeni badirikeni
 
Back
Top Bottom