Daghaseta
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 388
- 528
Shida yako ni kumuombea mabaya Eric Kabendera, hakuna kingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanabodi,
Mimi ni subscriber wa hili jarida linalotoka weekly, siku zote likiandika chochote kuhusu Tanzania, huwa linaandika only the negatives tuu ya nchi yetu, rais wetu na serikali yetu, hivyo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kiukweli nakereka. Mfano rais Magufuli na serikali yake wanafanya makubwa, licha ya utajiri mkubwa wa madini na maliasili wa nchi yetu, na umasikini uliotopea wa wananchi wetu, na makusanyo yetu yote ya ndani, hayatoshi hata kukidhi mahitaji yetu ya kibajeti hali inayoifanya bajeti yetu siku zote kuwa ni bajeti tegemezi kwa wahisani, misaada na mikopo, lakini rais Magufuli kwa utashi wake, tena bila fedha hizo kuidhinishwa na Bunge, kwa ushujaa mkubwa aliamua kununua ndege kwa cash money kutoka fedha zetu za ndani, na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya tatu barani Afrika kumiliki ndege kubwa ya kifahari ya dreamliner, na labda Tanzania ndio nchi ya kwanza duniani kununua ndege kubwa kwa cash money, haya ni maendeleo makubwa ambayo jarida la the economist walipaswa kuyaona na kuyaangazia,kuhusu uchumi wa Tanzania, utajiri wa Tanzania, umasikini wa watu wetu maamuzi ya kishujaa ya viongozi wetu katika kugharimia miradi mikubwa ya kimaendeleo, ambapo japo wananchi wa hali ya chini wanazidi kupigika, lakini in a long run faida wataiona.
Rais Magufuli amefanya utashi mkubwa wa kisiasa kutekeleza miradi mikubwa ya kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR, Mradi wa umeme wa Stigler Gorje, miradi mikubwa ya miundombinu ya mabarabara na madaraja zikiwemo barabara za juu kwa juu, ni maendeleo makubwa ambayo the economist walipaswa kuyaona na kuyaangazia lakini wapi, wao kila siku ni negatives tuu na negativity.
Leo kwa mara ya kwanza, nimeshuhudia jarida hili la the economist likizungumzia kitu positive kuhusu Tanzania
Combating tropical disease Scanning mosquitoes with infrared light could help to control malaria
Their spectra are full of valuable information
Print edition | Science and technology
Dec 18th 2018
This article appeared in the Science and technology section of the print edition under the headline"Learning the lines"
Kumbe hawa jamaa wanaweza kuandika something positive kuhusu Tanzania, kwa nini haindiki mazuri yetu, kila siku ni mabaya tuu.
Pascal
Rejea
Haya ni baadhi ya makorokocho ya The Economist kuhusu Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app