kumbe inawezekana kuendesha nchi bila Baraza la mawaziri. Ni kitambo sasa tangia professor Muhongo kutumbuliwa kama waziri wa nishati na madini, lkn mambo yanaenda sawia kabisa na hata usumbufu wa kukatika kwa Umeme mara kwa mara, kumepungua mno. Lkn pia wakuu wa mikoa ya daresalam na arusha, wameonyesha wakuu wa mikoa wana weza ku cover kazi za mawaziri. Kwa mfano daresalam chochote utakacho fanya hata km wewe ni waziri, km hujaenda sawa na RC, haitafaanikiwa, mfano mmoja wapo ni Lukuvi na suala la hekali 1500 za huko kigamboni. Kumbe tunaweza kua na serekali bila mawaziri. Makatibu wakuu na wakuu wa mikoa wanatosha.