Huku kwetu ukimuonyesha mtu wa tigopesa kadi ya CCM hakukati tozo, hata petroli ukimpa attendant kadi ya CCM halafu akai scan Bei ya mafuta inashuka.
Hata wanawake wa huku ukimuonyesha kadi ya CCM hakuombi yakutolea Wala nauli hakuombi.
Ndio maana huku tunasema kazi ya kupandishwa Bei kila kitu iendelee.