Kumbe Halotel ni CCM?

Kumbe Halotel ni CCM?

Masai wa Town

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
6,543
Reaction score
23,844
Halotel Ni CCM
Screenshot_20230101-162402.png
 
Meseji zimetumwa kwa kila mtandao chief Me sio Halotel natumia Tigo, zantel,Airtel na voda kote huko nimetumiwa
 
Hii nchi kupata maendeleo ni ndoto kama tutanguliza vyama mbele.
Kuna ile hotuba ya Nyerere inayohusu Serikali itofautishe na shughuli za chama. Watu wasikilize. Itawasaidia sana maana wamejisahau sana
 
Basi Mimi huu mwaka umeishakuwa mgumu Bora uishe tu..

Yaani kumbe Kuna watu mnatumiwa sms na raisi na hamsemi 🙄🙄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom