Kumbe Florentino Perez alikuwepo Pemba

Kumbe Florentino Perez alikuwepo Pemba

Kwenye PESA bhanaaa, daah, ,,yaani NCHAGGA Chi NTU kabisaa, anaweza fanya lolote.
Si wa kuwaamini hata kidogo, na hawanaga aibu. Wamepewa nyadhifa za uwaziri tu ona barabara hadi mashambani mwao.
Hawa akina UFooo SAroo ni matatizo.
Basil Pesa MBili MRamba, Daniel Yona. ..hahah

Na sasa lowassa wanyama wa mbugani kenya wAtahamia tanzania...watalii wote itabidi wapitie Tanzania na sio kenya... hulka yetu hatuibiwi tunaiba so Tanzanite itajulikana ulimwenguni kote ni kitu toka tz..
acha hayo mikataba yote tutairudia tuangalie kama ina maslai mangi...sio madini yetu sie tupate kidogo wewe uneemeke

Sisi kwa kupiga deal ndo wenyewe km wazungu wanatoka ulaya kuangalia mlima kilimanjaro kwa kuwa una barafu juu... Milima yote tutatengeneza barafu tuwahi asubuhi tuweke ili tupige deal....
Tumefunzwa kujenga nyumbani kwanza kwa hiyo Lowassa anaweza ataiba kila sehemu ajenge tz
 
Back
Top Bottom