Kumbe Florentino Perez alikuwepo Pemba

Kumbe Florentino Perez alikuwepo Pemba

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Kamanda wa anga Freeman Mbowe bingwa la usajili a.k.a Florentino Perez alikuwepo pia Pemba leo kuhakikisha game inaisha kwa tatu bila.
 

Attachments

  • 1443901923154.jpg
    1443901923154.jpg
    27 KB · Views: 1,192
  • 1443901934004.jpg
    1443901934004.jpg
    17.1 KB · Views: 1,070
Sikujua kama alikuwepo huko..
Channel Ten wameniudhi sana kwa kutoonesha habari ya Zanzibar na kuonesha habari ya jana Manyara
 
Daaaahh... hizo smile za kufa mtu...!!!

Makamanda wamekutana woteeee...!!!!

Wako na furahaaaaaa...!!!!

Shikamooooo Mboweeeeeeeee....!!!
 
Kwenye PESA bhanaaa, daah, ,,yaani NCHAGGA Chi NTU kabisaa, anaweza fanya lolote.
Si wa kuwaamini hata kidogo, na hawanaga aibu. Wamepewa nyadhifa za uwaziri tu ona barabara hadi mashambani mwao.
Hawa akina UFooo SAroo ni matatizo.
Basil Pesa MBili MRamba, Daniel Yona. ..hahah
 
Wakat mbowe anawakutanisha watu wenye faida nchini pamoja,kule kuna dafu linawakutanisha dimondi na wema pamoja....
 
Jamani pemba ina hali ya hewa nzuri sijui kwanini watu kule ni mafukara?
 
Kwenye PESA bhanaaa, daah, ,,yaani NCHAGGA Chi NTU kabisaa, anaweza fanya lolote.
Si wa kuwaamini hata kidogo, na hawanaga aibu. Wamepewa nyadhifa za uwaziri tu ona barabara hadi mashambani mwao.
Hawa akina UFooo SAroo ni matatizo.
Basil Pesa MBili MRamba, Daniel Yona. ..hahah
Tukiwapa nchi, mitambo ya kuchakata gesi ya Mtwara itajengwa Arusha.
 
Tv inayoonyesha ni itv peke yake, nyingine ni ccm tu hawana habari na vyama vingine
 
Lowassa kwanini anavaa mashati yanayofunika nyuma na hapigi mkanda nje?
 
Back
Top Bottom