Sio hivyo tuu pia wanaongopa kama walivyozoea Raisi muongo waziri mkuu muongo secretariat ya CCM waongo jana ITV,channel ten,Star TV wote walionyesha mtafaruku wa KIbondo kuna mwana JF naye alikuja hapa akatoa ushahidi huyo mfanya biashara alivyomuhonga Nape million tano Nape akalazimisha madiwani wakabwaga, uchaguzi uakahirishwa mpaka siku sitini kama kawaida yao na ujambazi wa kubaka demokrasia wamelazimisha mambo wamebadili kila kitu watu waliosimama kwenye uchaguzi hata kwa upande wa chadema hakuwa yule mwanamke
Mfa maji haachi kutapatapa.