Kumagufulika

Kumagufulika

Qualcomm

Senior Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
177
Reaction score
138
8.jpg
9.jpg
 
very interesting, hii kitu ni nzuri sana, tuwe na utaratibu kama taifa mtu kabla kuongea awe anapiga push up.
 
Hii sasa sio siasa ni maandalizi ya vita. Kama wanajiaanda kwenda msituni wao watangulie sisi wengine hatuna mpango wa kuingia poli.
 
Pombe ni dictator sasa mtu kama nyalandu pushups alipigia wap? Mwisho wajijambie buree
 
Taifa la watu wa hovyo. Badala ya kukaa chini kudiscuss mambo ya maana mmejaza mizaha kwenye kampeni.. Mimi hapa us nasikiliza sana-Cspan radio watu wanapingana na mihemko ya kisiasa lakini husikii masiahara watu wapo serious. Ila sisi ni utani tu mtu amefanya kampeni karibia mwezi na nusu lakini ukiuliza sera na policy zake huoni. Ni ujing ujinga tu
 
Yaani nimecheka sana kwamba Ndg Nyalandu alikuwa kagoma kupiga push-up,so alilazimishwa?Hii imenikumbusha enzi hizo shuleni mtu umelikologa,unaambiwa na mwalimu'haya down'unakula mboko za kutosha huku ukiambiwa ukiinuka tu zinafutika zote,zinaanza upya.Tulikuwa na nidhamu mno wala huendi kusema nyumbani maana utaongezewa zaidi,leo hii ni aibu mzazi anakwenda kuanzisha ugomvi shuleni kisa mtoto kachapwa fimbo,matokeo yake mtoto anamaliza shule hata kuandika barua hawezi.
 
kimsingi MACCM inabidi wkubali kuwa mgombea wao siku anapiga push up alikuwa ameishiwa sera za kuwadanganya wananchi hadi kuamua kufanya hivyo au inabidi wkubili kuwa mapombe alipotoka hivyo basi wasijifanye wanajaribu knutralize as if kama ni agenda
 
Back
Top Bottom