Mimi ni mmojawapo wa Wastaafu wanaopata pensheni kutoka Hazina. Mpaka tarehe ya leo pensheni yangu haijaingizwa kwenye akaunti yangu ya Benki. Kwa utaratibu pensheni inatakiwa iwe imeingia kwenye akaunti za Wastaafu siyo zaidi ya tarehe 1 ya mwezi unaofuata.
Tunaomba mtujali sisi Wastaafu na tuna hali ngumu huku mitaani.
Tunaomba mtujali sisi Wastaafu na tuna hali ngumu huku mitaani.