Msababishaji
Member
- Apr 5, 2014
- 23
- 5
Mabinti hulilia sana kuolewa.
Lakini wakiolewa tu vituko,
Mara anawasiliana na x wake mara migogoro kulikoni?
Lakini wakiolewa tu vituko,
Mara anawasiliana na x wake mara migogoro kulikoni?
Mabint hulilia sana kuolewa.lakini wakiolewa tu vituko,mara anawasiliana na x wake mara migogoro kulikoni?
Hivi ninyi aliyewaambia kuwa mabinti wanalilia kuolewa ni nani?
Hahahahaa....af we mchokozi.....bora mimi am happily married
Aiseee....mi naonaga mnajilisha upepo tu..hilo nalo la kuambiwa??
Very Happily Married = Overoli
Aiseee....mi naonaga mnajilisha upepo tu