Kulikoni Benard Membe?

Kama walivipata kwa halali hakuna haja ya kuogopa,tatizo wengi walivipata kinyume na utaratibu ,halafu wanataka kumvimbia,wakati njia walizotumia kujipatia ukwasi ni za haramu na jamaa anajua kila kitu,ni bora wakawa wapole,mfano Simbachawene


Sent using Jamii Forums mobile app
 
huu ni uwanja wa wapigaramli na hii ni mechi yao ya nyumbani, karibuni kwa mchezo
 
sasa kama anaona walivipata kimagumashi si awapeleke mahakaman kuliko kuanza kumfuatilia mtu akifanyacho sasa hivi tena baada ya kutoka madarakani. Hivi siko madarakan kwanini utake fuatilia navoendesha maisha yangu sasa hivi
 


sent by galax s9
 
sasa kama anaona walivipata kimagumashi si awapeleke mahakaman kuliko kuanza kumfuatilia mtu akifanyacho sasa hivi tena baada ya kutoka madarakani. Hivi siko madarakan kwanini utake fuatilia navoendesha maisha yangu sasa hivi
Ukijua ulipora busara hua ni kukaa kimya,jinai haifi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ndege zetu mpya zimenunuliwa kiasi cha shilingi ngapi na zimeingiza faida kiasi gani?

Uwazi na Ukweli ni moja ya imani na falsafa ya ccm,nchi pamoja na Katibu yetu.
Tuwajurishe watanzania bei zake na faida ambayo zimetengeneza mpaka sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAONA UMEKUJA KUPIMA UPEPO,UKWELI UNAUJUA ! ILA MEMBE NI MBOBEZI ! ALIWAPIGA BAO AKAKWEPA MTEGO WAO ! once spy always spy
 
Swali zuri,subiri utajuzwa,hiyo sio biashara ya karanga jioni mahesabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…