wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,159
- Thread starter
-
- #21
Kama walivipata kwa halali hakuna haja ya kuogopa,tatizo wengi walivipata kinyume na utaratibu ,halafu wanataka kumvimbia,wakati njia walizotumia kujipatia ukwasi ni za haramu na jamaa anajua kila kitu,ni bora wakawa wapole,mfano Simbachawenemimi nadhan sio kukosa cheo wala nini. Ila kuna mambo nyuma ya pazia lait ukiyasikia huwez mlaumu membe. Sasa hivi kila kitu ni mwendo wa visasi. Tena nadhani bora hata kina mbowe washayazoea lakin kila mtu ambaye yuko kinyume anashughulikiwa ipasavyo. Kuna waziri mmoja wazaman sasa hivi hata ile aman ya kutembelea gari imekosekana. Kila mara amekuwa mtu wa kujificha sana. Biashara zao zinafuatiliwa pasipokuwa na msingi. Sasa hiv amani imekuwa kukaa na pesa ndani kuliko kuweka benk.
Nina uhakika 2020 tutashuhudia viongozi wengi au watu wengi ambao wako kinyume na muheshimiwa wakihama nchi
Sent using Jamii Forums mobile app