Emmanuel_mtui
Member
- Apr 10, 2012
- 56
- 13
Mnamo tar 25/04/2012 majira ya jioni basi la kampuni ya championi lililokuwa linafanya safari kutoka Dar kuelekea Mwanza lilipata ajali mbele kidogo ya mji wa singida na watu waliumia na inasemekana mmoja alipoteza maisha eneo la ajali na mwingine ktk hospitali ya mkoa, sasa kubwa kuliko ni pale dereva aliyesababisha ajali alivyomaliza mambo na polisi kishkaji? Jee waathirika wanaweza kupata haki zao kweli kwa hali hiii,,,,