Kulia kwa mtoto wakati akizaliwa

Jeff

JF-Expert Member
Sep 26, 2009
1,293
199
Wana jf doctors,nimekutana na swali hili,kwann mtoto anapozaliwa tu ni lazima alie? Je asipolia atakuwa na matatizo ya kiafya? Wataalam mnijuze
 
Ndio ni lazima alie, kulia kunafungua njia yake ya hewa (respiratory tree) na kufanya exchange ya oxygen na carbon dioxide kwenye mapafu kuanza kufanyika. Asipolia inamaana mtoto atakuwa na carbon dioxide nyingi sana kwenye damu na kusababisha chembe hai za kwenye ubongo (brain cells) kukosa hewa (hypoxia) na hii husababisha hizo cells zife matokeo yake mtoto anapata utaahira (cerebral palsy).
 
kwa kukazia mganga wa jadi kinachomliza ni maumivu anayoyapata pale hewa inapoingia kwenye mapafu na kuyatanua kwa mara ya kwanza,hii ni kwa lugha nyepesi
 
Asanteni sana wataalamu we2,very comfortable with your answers
 
Back
Top Bottom