Kule ulaya maraisi huwa wanafungua au kuweka mawe ya msingi au walishamaliza kazi hiyo?

nkulikwa

JF-Expert Member
Jul 21, 2015
721
813
Ni kawaida kusikia kiongozi wa nchi anaweka jiwe la msingi au kufungua jengo au hata choo, je mambo haya huko ulaya yapo? Au wao wanaishi sasa na sisi tunaishi juzi au Jana ya maendeleo Yao? Hebu tupeane elimu ya Maana ya utamaduni huu!
 
Ni kawaida kusikia kiongozi wa nchi anaweka jiwe la msingi au kufungua jengo au hata choo, je mambo haya huko ulaya yapo? Au wao wanaishi sasa na sisi tunaishi juzi au Jana ya maendeleo Yao? Hebu tupeane elimu ya Maana ya utamaduni huu!
Ni lini mtaachana na akili za kuishi maisha ya wengine na mkaanza kuishi maisha yenu ?
MNALAZIMISHA KUWA COPY YA WATU WENGINE
 
Ni kawaida kusikia kiongozi wa nchi anaweka jiwe la msingi au kufungua jengo au hata choo, je mambo haya huko ulaya yapo? Au wao wanaishi sasa na sisi tunaishi juzi au Jana ya maendeleo Yao? Hebu tupeane elimu ya Maana ya utamaduni huu!


Kwa nini usipeleke international forum? Isitoshe Ulaya pia wameshaondoa tofauti kati ya Mwanamke na Mwanaume,...
 
Mada zingine kiujumla hazina umuhimu wowote moja wapo ni hii.
 
Elimu haina ya ulaya wala ya Africa ni vema kujua tu hii tamaduni ni yetu sisi tu au na wengine walipitia tamaduni hii? Nikujifunza tu wala usipate hemo la kisiasa!
 
Ni kawaida kusikia kiongozi wa nchi anaweka jiwe la msingi au kufungua jengo au hata choo, je mambo haya huko ulaya yapo? Au wao wanaishi sasa na sisi tunaishi juzi au Jana ya maendeleo Yao? Hebu tupeane elimu ya Maana ya utamaduni huu!
Watu wanakuzodoa mwanzisha thread lakini nadhani una hoja nzuri sana. Kwanini nchi zetu marais wanajipeleka kuweka mawe ya misingi au kufungua kila kitu? Kuna umuhimu gani? Hawana kazi za maana za kufanya! Mimi ni mmoja ya watu wanaopinga sana sana huu utaratibu! Viongozi wetu hawafanyi juhudi za maana wanapokuwa kwenye nafasi zao na ndio maana wanataka kutumia hizo nafasi kuwapumbaza wananchi!
 
Ni kawaida kusikia kiongozi wa nchi anaweka jiwe la msingi au kufungua jengo au hata choo, je mambo haya huko ulaya yapo? Au wao wanaishi sasa na sisi tunaishi juzi au Jana ya maendeleo Yao? Hebu tupeane elimu ya Maana ya utamaduni huu!

Wakati mwingine kama mtu huna cha kuandika ni bora hata basi ukapitia nyuzi za wengine ili ujifunze kitu. Kutafuta kiki kuna style nyingi maana hata hii ya kufungua uzi ili mradi watu wasome, nayo inashika kasi sana.
Hivi huwezi hata kufungua uzi ukawaelimisha watu kuhusu jambo la maendeleo? Au njia bora za kufanya usafi? Au kuhusu kilimo bora? Basi hata ulinzi shirikishi??
Hii ya kukaa kulalamika haikusaidii ndugu, kwanza ni sawa na kuwa unawatukana babu na bibi zako walioishi miaka hiyo ambayo wangetakiwa kuwa wanafanya hayo waliyoyafanya wa ulaya maana maendeleo yao sio ya miaka 61 iliyopita, waliendelea miaka 100 na zaidi iliyopita na hakuna mtu wa kizazi hiki aliyekuwepo..
 
Uliona ile fly over ya uingereza? Ilijengwa 1965 hebu jiulize kipind hicho Tanzania ilikuwa na barabara za lami km sasa hiv?
Kingine hiki ''mpaka sasa tunakimbizana na madawati na kuongeza unemployment rate ambapo mpaka sasa umasikini umeongezeka sana Tanzania''
Ss tunaishi maisha ya karne ya 12 japo tupo karne 21.
Titanic ilitengenezwa lini?
Wazungu wanawaza jinsi gani nchi zao zitakavyokuwa superpower kwa kila kitu lkn ss TUNAWAZA KUKOPA KILA SIKU.
DENI LA TAIFA ******** KALIFIKISHA MPAKA TRILION 41 MIAKA MINNE IISHE DENI LITAKUWA 70 KBSA. ANAWAZA KUKOPA KILIKO KUZALISHA
BURE KBSA
 
Hoja ni kwamba utamaduni huu wa viongozi kuweka mawe ya msingi au kufanya uzinduzi wa miradi ni wetu tu hapa Africa au huko kwingine nako upo? Au ulikuwepo ukatoweka? Hili ndilo swali la msingi? Kumbuka hakuna swali la kijinga Ila kunaweza kuwa na majibu ya kipumbavu!
 
Wakati mwingine kama mtu huna cha kuandika ni bora hata basi ukapitia nyuzi za wengine ili ujifunze kitu. Kutafuta kiki kuna style nyingi maana hata hii ya kufungua uzi ili mradi watu wasome, nayo inashika kasi sana.
Hivi huwezi hata kufungua uzi ukawaelimisha watu kuhusu jambo la maendeleo? Au njia bora za kufanya usafi? Au kuhusu kilimo bora? Basi hata ulinzi shirikishi??
Hii ya kukaa kulalamika haikusaidii ndugu, kwanza ni sawa na kuwa unawatukana babu na bibi zako walioishi miaka hiyo ambayo wangetakiwa kuwa wanafanya hayo waliyoyafanya wa ulaya maana maendeleo yao sio ya miaka 61 iliyopita, waliendelea miaka 100 na zaidi iliyopita na hakuna mtu wa kizazi hiki aliyekuwepo..
KILA MTU ANA UHURU WA KUTOA MAONI
MBONA UNAKUWA KM ********? Mwache hii ndiyo ina akis neno Jamii forum. Unaposikia neno jamii unapata picha gani?
Hii kulalamika ndiyo iliyomtoa Gaid Gadafi, Idd Amin na wengine.
Acha watu waongee kulalamika ni jadi ya kila binadamu.
 
Ni kawaida kusikia kiongozi wa nchi anaweka jiwe la msingi au kufungua jengo au hata choo, je mambo haya huko ulaya yapo? Au wao wanaishi sasa na sisi tunaishi juzi au Jana ya maendeleo Yao? Hebu tupeane elimu ya Maana ya utamaduni huu!
ulaya ni ulaya..hapa tupo Afrika ta Mashariki. tuna namna yetu na taratibu zetu.
 
Mada zingine kiujumla hazina umuhimu wowote moja wapo ni hii.
Ww ya kwako iko wapi? Ningekuona wa maana sana km hii thread ungepita bila kuandika chochote.
Kwa mfano unaenda sehemu, ukakuta kuna kijiwe cha bangi wanavuta na wanapiga story, ukasema ngoja na mm nikawasikilize wana sema nn ila bangi hautumii kbsa. Katika kukaa palee ukaanza kuwatukana mara ghafula defender ya polisi hii hapa. Wakakukamata utawaambia nini wakati umekutwa na wavuta bangi? Hapo tayari na ww ni muuza au mvuta bangi.
Ukisema hii mada ya kipuuzi na ww ni mpuuz pia sbb km siyo ya kipuuz kwann umechangia? UKIPITA KIMYA BILA KUANDIKA KITU CHOCHOTE NINGEKUONA WA MAANA SANAAAAAAAAAAAAAA TENA SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Tangu lini kuuliza ikawa ni kulalamika? Au kuuliza kuondoa kwamba huu si utaratibu wetu jamii forum ni mahali pa Watu wengi kwahiyo usiyojua vema unauliza kwa wengine! Ondoeni hasira tujadili swali
 
Ni lini mtaachana na akili za kuishi maisha ya wengine na mkaanza kuishi maisha yenu ?
MNALAZIMISHA KUWA COPY YA WATU WENGINE
Hata nguo unazovaa zinatoka ulaya kabla ya kuja kwa wakoloni mlikuwa uchi kama nyani
 
Wale wanaishi dunia yao na sisi tunaishi yetu,kwa hiyo kule sijawahi sikia rais ameenda kuzindua ujenzi wa barabara.

Siyo hicho tu,kule uchaguzi ukiisha siasa zinaishia hapo.

Mara ya mwisho kumsikia Hillary Clinton kwenye media ilikuwa lini? Ni lini umesikia uongozi WA chama cha Democratic wana mkutano WA kuimarisha chama baada ya uchaguzi?

Mambo mengi Sana tunatofautiana.
 
Back
Top Bottom