Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
unaweza kukwepa kulala misiba yoote iule unasema leo nilale msiba huu ndo hapo hapo unaota, si unajua ile ya siku ya kufa nyani....................., na siku utembeayo uchi ndo ukutanayo na mama/baba mkwe?
Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.
Naskia Lady Anakonda analo hili,lol!!Hilo ni pepo la Uzinzi ambalo lina uwezo wa kuzini na binadamu wa ukweli hadi anafika kilele!
Ni watu wengi tu wanaingia mapenzi na mapepo, aka majini na wanamalizana usiku, na mwanamke mwenye hali ya hivyo huwa hana hamu na mumewe kabisaaa, hata akiombwa naniliu anakuwa mkali kama mbogo!
Njoo ufanyiwe maombi!
Padre au?kweli PakaJimmy huyo ni spritual husband
kipindi ninasoma boarding kuna mwenzetu alitembea na padre sasa usiku alikuwa anaota anafanya mapenzi mbaya zaidi akiamka anajikuta kachafuliwa kila kona
kwa kweli situation yake ilikuwa worse sana maana tulimuogopa kwa kweli plus wengi tulikuwa mabikra enzi hizo
ila alienda kuungamishwa akaombewa na ile hali ikaisha ..ngoja nimcheki anaendeleaje siku hizi
Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.
nyumba ya ibada unayoendesha iko wapi mkuu?Hilo ni pepo la Uzinzi ambalo lina uwezo wa kuzini na binadamu wa ukweli hadi anafika kilele!
Ni watu wengi tu wanaingia mapenzi na mapepo, aka majini na wanamalizana usiku, na mwanamke mwenye hali ya hivyo huwa hana hamu na mumewe kabisaaa, hata akiombwa naniliu anakuwa mkali kama mbogo!
Njoo ufanyiwe maombi!