mwingine ananyonya kidole, LOL
Ndio mdudu gani huyo?Martial status ya mh. Spika wana jamvi?
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.
Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look
Kulala mchana kunategemea na historia....ulikuwa unafanya nini usiku wa kuamkia leo?
Hamuelewi tu?
Staki ban mie!!
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.
Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.
Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look
At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.
Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look
At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health
As usual tukisema kuna list kibao ya kulala bungeni some don't believe.
Juzi tu bunge limeanza huyu kaanza na kukoroma, one day mtu atatia aibu kwa kuota, au ku diffuse/pollute hewa bungeni, wait, mbunge must be active especially ndani ya jengo, then ukitoka kalale, take a look
At least huyu mzee hapa chini kaegemea ukuta asianguke anawakumbuka waliomchagua kwa SMS, ila alivyo disintegrate...mmmhhh, hiyo simu ilivyoshikwa aaalaaahh Mzee wa kiraracha vp? namombea msamaha kwa kuitwa CCM, bcoz of his health
...Halafu ni vyema wakaambiwa kuwa camera za TV ziko live saa zote.
Leo alikuwepo moja mzuri mzuri hivi anachimbua yale 'madini' yapatikanayo ndani ya pua na kuyafinyanga finyanga kwa vidole vyake!! halafu wakitoka bila shaka ataenda kushikana mikono na wenzie...AARRGHH!:nono: