Wakuu
Naomba kuuliza tu kwamba je watu kulala uchi wa Mnyama maana/mantiki yake ni nn?
hivi wakati wa popobawa anapitia watu wanao lala uchi si walikuwa kwenye risk kubwa!Sehemu nyeti za mwili zina relax!
Si lazima wakati wa kulala tu, kama wewe ni bachelor or spintser, ukiwa alone rum, jiachie tu uchi. Bonge la starehe, jaribu uone, hutajutia.
hivi wakati wa popobawa anapitia watu wanao lala uchi si walikuwa kwenye risk kubwa!
Wakuu
Naomba kuuliza tu kwamba je watu kulala uchi wa Mnyama maana/mantiki yake ni nn?
Mh hiyo si sahihi kwa kweli, ukikurupushwa usiku na moto utatoka nje dudu inaning'inia hahahahah
Sehemu nyeti za mwili zina relax!
Si lazima wakati wa kulala tu, kama wewe ni bachelor or spintser, ukiwa alone rum, jiachie tu uchi. Bonge la starehe, jaribu uone, hutajutia.
mimi nalala uchi, lakini sio wa mnyama kama ulivyosema bali uchi wangu mwenyewe. Nalala uchi kwa sababu hata mchana navyovaa nguo huwa navaa kwa sababu ya kujisetiri. Sasa sijui nikiwa chumbani kwangu, sina safari wala mgeni unataka nivae nguo ili iwe nini.
Kipindi nasoma, nilikuwa nakaa chumbani na taa yangu ya mezani uchi na hapo na 'matirio' ndio yalikuwa yanazama ubongoni murua. Kukaa uchi raha bwana asikwambie mtu, seuze kulala?
Kwa namna ile unavyoipumzisha miguu yako kutoivalisha mibuti unapokuwa ndani basi ndio unatakiwa uutendee haki uchi wako unapokuwa room. Ni ufisadi mkubwa kupeleka sura beach kupunga hewa huku uchi hauna hata nukta ya kupunga hewa
Uc.hi unatisha nyie acheni masikharaaaa! Yaani ukimuona mtu ambae hujakusudia akiwa hivo mambo yako yote yanasimama kwa gundu, nuksi na mikosi.
Uc.hi unatisha nyie acheni masikharaaaa! Yaani ukimuona mtu ambae hujakusudia akiwa hivo mambo yako yote yanasimama kwa gundu, nuksi na mikosi.
mhmmmmmmm!Uc.hi unatisha nyie acheni masikharaaaa! Yaani ukimuona mtu ambae hujakusudia akiwa hivo mambo yako yote yanasimama kwa gundu, nuksi na mikosi.