Kula chumaa hioo

Kula chumaa hioo

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
MUONGOZO WA CHAKULA, KATIKA KUIMARISHA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME 2026

📌ASUBUHI
✅Chai - iwe ya viungo vya Asili pekee
• Tangawizi, iliki, karafuu, mdalasini au mchaichai
✅VitaFunwa
• Viazi, Mihogo, Magimbi, Ndizi (chemsha tu)
• Mayai, mbogamboga
✅Matunda - Aina yoyote
❌ Kama Hakuna Ulazima Usinywe Chai Kidume Kwa ASUBUHI

📌MCHANA

✅Ugali | Wali | Ndizi Rosti | Makande
✅Mbogamboga ziwe nyingi sana
✅Samaki, Nyama, Kuku, Mayai
✅Maharage, Kunde, Mbaazi, Choroko
✅Mtindi
✅Maji Mengi

📌USIKU
▪︎Ugali | Wali | Ndizi Rosti (kiasi chake)
✅Mbogamboga nyingi - Aina yoyote
✅Samaki | Nyama | Mtindi | Mayai
✅Matunda Aina yoyote yawe mengi
• Usiku Kula Kiasi kidogo sana cha wanga


📌VYAKULA VYA ZIADA MUHIMU NA LAZIMA UWE NAVYO NDANI
1. Tende
2. Karanga
3. Almonds (sio lazima)
4. Korosho
5. Mbegu za Maboga
6. Asali
7. Kitunguu Saumu na Tangawizi

📌MATUNDA HAYA MUHIMU SANA KWA MWANAUME
1. Parachichi
2. Ndizi
3. Tikiti
4. Chungwa
5. Tango

⚠️ Kwa Mtu Mnene | Mwenye Kitambi Hauruhusiwi kutumia Wali na Wali kama Unataka kupungua Uzito

⚠️ Kwa Mtu Mwenye Kisukari Hatakiwi Kutumia Baadhi ya Vyakula Hapo

⚠️ Wahenga Walisema Akili za Kuambiwa Changaya na Zako - Hivyo Pangilia Ratiba yako ya Chakula Kulingana na BAJETI | UCHUMI | FEDHA | UWEZO wako


✍️Mr Kidume | Kidume Herbal
☎️+255 691 517 166 |
 
Haya
 

Attachments

  • IMG-20260128-WA0029.jpg
    IMG-20260128-WA0029.jpg
    175.9 KB · Views: 7
Hakuna tatizo la nguvu za kiume....

Hii ni mentality ya mtu tu, na psychology yake kwa ujumla ! Lile tukio ni mindset zaidi ... namna ulivyo na utulivu wa akili, sio mtu una maden kibao , mishe haziend, ukirudi home kelele
Kama mtu health, unakula vzr(balanced diet), maji pia unakunywa mengi ..

Alafu kwenye daily routine yako kila siku walau upate dakk 15 za kutoka jasho [aidha kutembea, zoezi ama whatever]

Utashindwaje kudinya mazee?
 
Hakuna tatizo la nguvu za kiume....

Hii ni mentality ya mtu tu, na psychology yake kwa ujumla ! Lile tukio ni mindset zaidi ... namna ulivyo na utulivu wa akili, sio mtu una maden kibao , mishe haziend, ukirudi home kelele
Kama mtu health, unakula vzr(balanced diet), maji pia unakunywa mengi ..

Alafu kwenye daily routine yako kila siku walau upate dakk 15 za kutoka jasho [aidha kutembea, zoezi ama whatever]

Utashindwaje kudinya mazee?
Naunga mkono hoja kwa 100%
 
Vya kuwa na akili zaidi vyenyewe huvijui mana hata sindano tunaletewa kizazi chetu huko mbeleni kitakuwaje. Tafuta vyakula vya kuongeza ubunifu na kuvumbua vitu Mana hata madini tunayo hatuwezi kuyachimba , Barabara na majengo hatuwezi kuyajenga wenyewe naiwazia Tanzania ya miaka 100-200 itakuwaje madini bandari ardhi Kila kitu kitakuwa kimeshikwa na wageni na waliowapora Mali hizo wanaishi huko mbele na kizazi chako sie huku watu wanawaza namna ya kuzagamuana ili upate heshima Kama mwanaume unayejua kut00mba na ilhali kizazi chako huwezi kukipatia mahitaji muhimu ya maisha
 
MUONGOZO WA CHAKULA, KATIKA KUIMARISHA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME 2026

📌ASUBUHI
✅Chai - iwe ya viungo vya Asili pekee
• Tangawizi, iliki, karafuu, mdalasini au mchaichai
✅VitaFunwa
• Viazi, Mihogo, Magimbi, Ndizi (chemsha tu)
• Mayai, mbogamboga
✅Matunda - Aina yoyote
❌ Kama Hakuna Ulazima Usinywe Chai Kidume Kwa ASUBUHI

📌MCHANA

✅Ugali | Wali | Ndizi Rosti | Makande
✅Mbogamboga ziwe nyingi sana
✅Samaki, Nyama, Kuku, Mayai
✅Maharage, Kunde, Mbaazi, Choroko
✅Mtindi
✅Maji Mengi

📌USIKU
▪︎Ugali | Wali | Ndizi Rosti (kiasi chake)
✅Mbogamboga nyingi - Aina yoyote
✅Samaki | Nyama | Mtindi | Mayai
✅Matunda Aina yoyote yawe mengi
• Usiku Kula Kiasi kidogo sana cha wanga


📌VYAKULA VYA ZIADA MUHIMU NA LAZIMA UWE NAVYO NDANI
1. Tende
2. Karanga
3. Almonds (sio lazima)
4. Korosho
5. Mbegu za Maboga
6. Asali
7. Kitunguu Saumu na Tangawizi

📌MATUNDA HAYA MUHIMU SANA KWA MWANAUME
1. Parachichi
2. Ndizi
3. Tikiti
4. Chungwa
5. Tango

⚠️ Kwa Mtu Mnene | Mwenye Kitambi Hauruhusiwi kutumia Wali na Wali kama Unataka kupungua Uzito

⚠️ Kwa Mtu Mwenye Kisukari Hatakiwi Kutumia Baadhi ya Vyakula Hapo

⚠️ Wahenga Walisema Akili za Kuambiwa Changaya na Zako - Hivyo Pangilia Ratiba yako ya Chakula Kulingana na BAJETI | UCHUMI | FEDHA | UWEZO wako


✍️Mr Kidume | Kidume Herbal
☎️+255 691 517 166 |

Vyakula vilivyozoeleka kwenye maisha yangu tangu ukuaji wangu hadi sasa mimi mkubwa

Maziwa fresh
Nyama
Korosho

Uzi mzuri BTW
 
Back
Top Bottom