Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Nahisi hata leo utapata BAN
Jamani hamjambo humu, jamani nilijiunga hapa wiki 2 zilizopita ila nilikaa siku nne tu nikala BAN na ndo kwanza kifungo kimeisha. Naombeni sana muwe wastarabu msitusababishie wengine BAN. Kuna watu wana mambo ya ki K sana humu ndani wakati wanachangia thread.
MODS mi sitaki BAN tena
<br />Haya ukae kwa heshima na adabu, sikupigi ban tena, lakini usizowee wala usirudie, ukirudia nakupiga ban ya maisha!
<br />
<br />
Jamani FF aje adabu ipi tena hiyo maana hapa kwenyewe tayari kaingia bila adabu!
Nachukulia ile K kuwa ni mambo ya Kizungu, kwa hiyo sioni kosa hapo.
MOD mlabeni BAN nyigine huyu, maana katukana tena.
Tutafanya mpango rules ziandikwe kwa kiswahili ili uzielewe vizuri.
Karibu tena mkuu! Pamoja sana
We rudi zako facebook hujii ulicho kifata huku jf