Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,038
- 3,479
Wakuu,
Kama mmojawapo wa raia mjenzi wa nchi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) ambayo ni zao la Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Zanzibar
Uchumi nufaishi kwa nchi na watu
A:
1. Uchumi wa mazao ya Bahari
2. Uchumi wa Utalii (mali kale, viumbe adimu, wanyama asili lugha, utamaduni)
3. Uchumi wa mazao ya viungo
4. Uchumi wa usafirishaji kwa njia ya Maji, Anga na Bandari
5. Uchumi wa historia ya Visiwa vya Zanzibar (Unguja, Pemba, Tumbatu, Uzi, Vundwe, Bawe, Changuu, Fundo, Chumbe nk)
6. Uchumi Huduma (Usafiri, hoteli, mawasiliano, usafi wa mazingira nk)
B:
1. Uchumi Kilimo mazao chakula (kwa kuongezwa thamani tangu shambani hadi kwenye hatua kabla ya mlaji
2. Uchumi mazao Biashara (ubora na thamani kwa kulingana na soko ikizingatiwa kwa manufaa yenye tija)
3. Uchumi Utalii (Mali kale, viumbe adimu, wanyama pori asili, mbuga za mimea na uwanda asili, lugha, utamaduni)
4. Uchumi Madini (Gold, Copper,, Silver, Diamond, Tanzanite, Coal, Iron ore Tin, Aluminium, Uranium, Helium, Uranium, Soda Ash, Salt, Platinum, more gemstones of different species)
5. Uchumi Usafirishaji bidhaa ndani na nje ya nchi (barabara, reli, meli majini, na ndege angani
6. Uchumi Ufugaji mazao ya wanyama, Samaki nk
7. Uchumi huduma (Usafiri, Hoteli, Usafi wa mazingira, utunzaji mizigo, ulinzi binafsi nk)
8. Uchumi wa mazao ya Bahari. maziwa na mito
9. Uchumi ujenzi miundo mbinu bora, toshelezi na gharama nafuu
10. Uchmi wa Nishati (Umeme, Gesi, Upepo, Jua na Joto Ardhi)
11. Uchumi Bidhaa za Viwanda vya ndani ya nchi
12. Biashara za kati na kubwa kwa kodi rafiki isiyoua mtaji na ukuaji wake kwa ajili ya faida kwa maendeleo ya mmiliki, mtu mmoja mmoja na nchi pia
13. Uchumi wa habari na mawasiliano ijapokuwa kuna tishio la udukuzi siri na mashambulizi kwa njia ya mitandao
14. Uchumi sanaa, mziki na michezo
15. Kulinda uchumi kwa kuwekeza kwa nia ya kujitegemea kufanya maamuzi yenye maslahi ya nchi na kupanga matumizi ya mapato kwa maendeleo ya taifa bila masharti ya udhalilishaji.
Kwa maana hiyo serikali pamoja na watendaji wake, wajasiriliamali, wakulima, wafugaji,, wavuvi, wafanyabiashara, wafanyakazi na makampuni binafsi wajikite kwenye maeneo tahwa hapo juu kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na desturi tulizojiwekea ni imani yangu nchi na mtu mmoja mmoja watanufaika na mpango huo kwa kufanya kazi kwa bidii na kupata malipo stahiki yenye kukidhi mahitaji muhimu pamoja na kujiendeleza kimaisha kama familia au nchi yenye kujitegemea.
Mada iko mezani wenye fikra pevu.
Kama mmojawapo wa raia mjenzi wa nchi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) ambayo ni zao la Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Zanzibar
Uchumi nufaishi kwa nchi na watu
A:
1. Uchumi wa mazao ya Bahari
2. Uchumi wa Utalii (mali kale, viumbe adimu, wanyama asili lugha, utamaduni)
3. Uchumi wa mazao ya viungo
4. Uchumi wa usafirishaji kwa njia ya Maji, Anga na Bandari
5. Uchumi wa historia ya Visiwa vya Zanzibar (Unguja, Pemba, Tumbatu, Uzi, Vundwe, Bawe, Changuu, Fundo, Chumbe nk)
6. Uchumi Huduma (Usafiri, hoteli, mawasiliano, usafi wa mazingira nk)
B:
1. Uchumi Kilimo mazao chakula (kwa kuongezwa thamani tangu shambani hadi kwenye hatua kabla ya mlaji
2. Uchumi mazao Biashara (ubora na thamani kwa kulingana na soko ikizingatiwa kwa manufaa yenye tija)
3. Uchumi Utalii (Mali kale, viumbe adimu, wanyama pori asili, mbuga za mimea na uwanda asili, lugha, utamaduni)
4. Uchumi Madini (Gold, Copper,, Silver, Diamond, Tanzanite, Coal, Iron ore Tin, Aluminium, Uranium, Helium, Uranium, Soda Ash, Salt, Platinum, more gemstones of different species)
5. Uchumi Usafirishaji bidhaa ndani na nje ya nchi (barabara, reli, meli majini, na ndege angani
6. Uchumi Ufugaji mazao ya wanyama, Samaki nk
7. Uchumi huduma (Usafiri, Hoteli, Usafi wa mazingira, utunzaji mizigo, ulinzi binafsi nk)
8. Uchumi wa mazao ya Bahari. maziwa na mito
9. Uchumi ujenzi miundo mbinu bora, toshelezi na gharama nafuu
10. Uchmi wa Nishati (Umeme, Gesi, Upepo, Jua na Joto Ardhi)
11. Uchumi Bidhaa za Viwanda vya ndani ya nchi
12. Biashara za kati na kubwa kwa kodi rafiki isiyoua mtaji na ukuaji wake kwa ajili ya faida kwa maendeleo ya mmiliki, mtu mmoja mmoja na nchi pia
13. Uchumi wa habari na mawasiliano ijapokuwa kuna tishio la udukuzi siri na mashambulizi kwa njia ya mitandao
14. Uchumi sanaa, mziki na michezo
15. Kulinda uchumi kwa kuwekeza kwa nia ya kujitegemea kufanya maamuzi yenye maslahi ya nchi na kupanga matumizi ya mapato kwa maendeleo ya taifa bila masharti ya udhalilishaji.
Kwa maana hiyo serikali pamoja na watendaji wake, wajasiriliamali, wakulima, wafugaji,, wavuvi, wafanyabiashara, wafanyakazi na makampuni binafsi wajikite kwenye maeneo tahwa hapo juu kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na desturi tulizojiwekea ni imani yangu nchi na mtu mmoja mmoja watanufaika na mpango huo kwa kufanya kazi kwa bidii na kupata malipo stahiki yenye kukidhi mahitaji muhimu pamoja na kujiendeleza kimaisha kama familia au nchi yenye kujitegemea.
Mada iko mezani wenye fikra pevu.