qaxemvule
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 231
- 120
Kipi kiswahili fasaha cha kumwambia mtu aliyekutu ukamwitie mtu halafu huyo mtu uliotumwa hukumuona
Utakuja kumwambia jibu lipi kati ya haya hapa
(A) sikumuona
(b) sikumkuta
(c) nimemkuta hayupo
(d)sijamkuta
(e)alikua hayupo
(f)hayupo
(g)katoka
(h)hakuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuja kumwambia jibu lipi kati ya haya hapa
(A) sikumuona
(b) sikumkuta
(c) nimemkuta hayupo
(d)sijamkuta
(e)alikua hayupo
(f)hayupo
(g)katoka
(h)hakuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app