Nakazia.
Mtu ambaye anaongea peke yake muheshimu.
Achana na kuongea kutokana na
Depression, stress na kadhalika.
Kuna mtu hana Tatizo lolote lakini anasemezana,anaweza piga stori na kikundi cha watu cha kufikirika na akawini.
Hata wanamuziki kuna muda wanajikuta wanafanya bonge la show,na nyomi la watu ni kubwa Kwa kuimagine tu.
Mimi mwenyewe naongea Sana peke yangu,zipo faida.
1.kujisahihisha
2.Kusikiliza zaidi kuliko kuongea
3.Kufikiri kabla ya kutenda.
4.kutokuwa mropokaji.
5.kuwa na Busara