Kukumbuka na kusahau

Kukumbuka na kusahau

Patrolman

Member
Joined
Sep 14, 2015
Posts
17
Reaction score
3
Kwa kawaida binadamu wote tumeumbwa kwenye hii hali, ya kukumbuka vitu na kuvisahau.

Huu uchaguzi wa mwaka huu utanichukua muda mrefu sana kuusahau. Inauma lakini hakuna namna.

Hii inanikumbusha mwaka 1993, wakongwe na mashabiki wa mpira wanaweza kukumbuka ni fainali ya mpira wa miguu kati ya Simba na Stella Abijani ya Ivory Cost.

Du hatukuamini kilichotokea na mpaka leo huwa siamini nini kilitokea ilikuwa huzuni na aibu ya aina yake.
 
Mtoa mada hujasomeka unaongelea nini hasa? Hebu tuweke wazi Mkuu
 
Back
Top Bottom