kuku wanatumia kondom?

Dr wa ukweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
900
Reaction score
274
jamaa mmoja alikuwa anakaanga mayai alivunja la kwanza halikuwa na kitu, akavunja la pili halikuwa na kitu, na la tatu halikuwa na kitu,...... akakasirika na kusema shenzhata kuku wanatumia kondom!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…