KUKU WA NYAMA WANAPOLISHWA ARV's ILI WANENEPEANE

KUKU WA NYAMA WANAPOLISHWA ARV's ILI WANENEPEANE

Renegade

Platinum Member
Joined
Mar 18, 2009
Posts
7,799
Reaction score
8,234
Kuna taarifa ambayo niliipata kwa mmoja wa marafiki zangu kuwa Kuna wafugaji wa kuku wanawalisha Kuku wao dawa za kurefusha maisha za wagonjwa wa ukimwi( ARV) , ili wanenepe na kuuzwa kwa bei nzuri.
Nina hakika humu kuna madakitari wengi naomba nifahamishwe hii ina madhara gani kwa afya ya mtu ambaye hajaambukizwa HIV?
 
hii topic ilishajadiliwa humu use seach botton
 
Back
Top Bottom