Kuku wa nyama (broilers) pasua kichwa

sio mtumwa mkuu wewe unaweza kuwa zaidi ya boss wako kwasababu una uzoefu wa kutosha
 
Umeleta malalamiko au ushauri?
Watu hizo ndo kazi zetu tuna zaidi ya miaka8 sasa ndani ya kazi wewe miezi6 tu lakini pole mkuu jipange kwa sababu umezijua changamoto zake basi upo karibu na mafanikio
Hongera kwa kufanya shughuli hii I miaka 8. Vip? Changamoto ya wale wateja wakija kununua kuku, Maana usipokuwa makini wanakuibia
 
haha ukileta utani unapiga ndefu wewe na kuku au ule chakula cha kuku, chezea week ya tatu wewe
 
haha ukileta utani unapiga ndefu wewe na kuku au ule chakula cha kuku, chezea week ya tatu wewe
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Iyo million 1. Ukitoa matumizi yote faida ni kama laki 3 au 2
 
Iyo million 1. Ukitoa matumizi yote faida ni kama laki 3 au 2
Unamaanisha kwa mahesabu yako hao kuku 1,000 kwa kila kuku anakuwa amewauza kwa bei ya 1,000/=? Ndiyo bei ya hao broilers sokoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…