Habari zenu wapendwa,
Mimi ni mjasiriamal mdogo wa kuuza kuku wa kienyeji mara nyingi nasafirisha kwenda Arusha kutoka Tanga.
Kwahio kama kuna mtu anahitaji anipe oda
kuku niwarangi tofauti na majogoo wanawika na kuku ni wakienyeji kabisa sio chotara