Mkubwa kigoma mbali sana ungekuja karibu mimi niko Tanga mjini ningekupatia vifaranga.
1: nauza vifaranga vya kuku wa kienyeji
2: Kenbro
3: Kuroila na
4: Kuchi
Kuroila, kenbro na kienyeji bei ni 2,000 kifaranga cha siku moja Bila usafiri. Usafiri unajitegemea mwenyewe.
Number za mawasiliano
0762355114