Mkuu, mimi nipo katika mchakato wa kuanza kufuga kuku na sasa naandaa shamba huko Kibiti. Ajabu nimeenda huko nkakuta kuku wana maumbile madogo ingawa wenyeji wanasema hao ndo kuchi, nkashangaa kweli ila naambiwa ni wazito. Mimi nijuavyo kuchi huwa ni mkubwa na manyoya kidogo. Jaman naomba kujuzwa zaidi.