Kuku jogoo kumpanda bata!

Kuku jogoo kumpanda bata!

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,707
Reaction score
1,729
Wakuu jana jioni saa kumi na mbili nilikuwa napita mtaa fulani na kuona kuku wakikimbizana halafu wakaishia kupandana kama kawaida ya mapenzi yao, kilicho nishangazwa mno kuona kuwa kumbe kuku 'jogoo' alimpanda bata jike!
Hii inakaaje?
 
Biologically yai linaweza lisipate vifaranga...joto la kutamia na mda wake ni tafauti kati ya bata na kuku.

😉Sasa kutokana na vyakula vya kuku vya kichina vinaweza badilisha na kupata kifaranga aina ya kubata yani kuku na bata😀

Kawaida hii huwa ni noma, yani sijui kuku anafuata wowowo la bata ama? Hehehe🙄

Sent from my GT-I9300
 
Watatotoa njiwa
Acha mas-hara hili ni tukio la kweli na sasa naomba matokeo yake kama pana mtu anaushahidi.
Jamani tujitahidi kuwa watafiti na si kutoa majibu mepesi mepesi kiasi hiki.
 
Sijawai kuona kitu kama hicho! Kwanza inawezekana ukiona vitu kama hivyo umelaaniwa! Sio kila kitu cha kutazama vingine havifai hata kueleza
 
Huyo jogoo kwanza atakuwa hajamridhisha huyo bata.Maana shughuli ya Gegedu si mchezo!
 
Si ufanye utafiti kwa kufuatilia mwendendo wa huyo bata mahali ulipomuona. Alternatively, katoe offer ya kumnunua umpeleke kwako ili iwe karibu kumfuatilia. Hizo ndio gharama za reseach usingoje mwingine akufanyie research anaweza kukudanganya.
Acha mas-hara hili ni tukio la kweli na sasa naomba matokeo yake kama pana mtu anaushahidi.
Jamani tujitahidi kuwa watafiti na si kutoa majibu mepesi mepesi kiasi hiki.
 
Wakuu jana jioni saa kumi na mbili nilikuwa napita mtaa fulani na kuona kuku wakikimbizana halafu wakaishia kupandana kama kawaida ya mapenzi yao, kilicho nishangazwa mno kuona kuwa kumbe kuku 'jogoo' alimpanda bata jike!
Hii inakaaje?
Jamani ni maajabu mie niliona jamani jogoo anampanda bata tena dumee.nikaoshia kumwambia yule mama anae wafuga huu uchuloooo jamani.akasema nilishawazoea hao wote macameroon.
 
Si ufanye utafiti kwa kufuatilia mwendendo wa huyo bata mahali ulipomuona. Alternatively, katoe offer ya kumnunua umpeleke kwako ili iwe karibu kumfuatilia. Hizo ndio gharama za reseach usingoje mwingine akufanyie research anaweza kukudanganya.
Nimepanga kumuona mwenye bata hata hivo.
 
Jamani ni maajabu mie niliona jamani jogoo anampanda bata tena dumee.nikaoshia kumwambia yule mama anae wafuga huu uchuloooo jamani.akasema nilishawazoea hao wote macameroon.
Hata mie nilidhani UCHURO ndo maana nikaiweka humu, hata hivo wengi hapa nilipo wanasangaa pia?
 
Sijawai kuona kitu kama hicho! Kwanza inawezekana ukiona vitu kama hivyo umelaaniwa! Sio kila kitu cha kutazama vingine havifai hata kueleza
Lakini kwa tabia yao hawa viumbe hupandana hata kama pana watu wamekaa raha mustarehe, hawajali.
 
Back
Top Bottom