Jay10
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 711
- 533
Habari ya wakati huu wana Jf....!??...
Niende moja kwa moja katika mada hii husika na kichwa habari hapo juu...
Nipo katika mpango wa kufuga kuku kibiashara, hivyo naomba ushauri juu ya ni aina gani ya Kuku (chotara, kisasa au kienyeji)... Mana nimewaza wa kisasa lakini wale kuku nduguuu..... Duuh yaaan wamezubaaa kamaa....!??! Japo kibiashara wamoo...
... Anyways naomba ushaur seriously.... Nataman sasa kupata uzoefu kwa wazoefu ktk sekta hii.....nipo Moshi- Kilimanjaro.....
Nawasilisha....
Niende moja kwa moja katika mada hii husika na kichwa habari hapo juu...
Nipo katika mpango wa kufuga kuku kibiashara, hivyo naomba ushauri juu ya ni aina gani ya Kuku (chotara, kisasa au kienyeji)... Mana nimewaza wa kisasa lakini wale kuku nduguuu..... Duuh yaaan wamezubaaa kamaa....!??! Japo kibiashara wamoo...
... Anyways naomba ushaur seriously.... Nataman sasa kupata uzoefu kwa wazoefu ktk sekta hii.....nipo Moshi- Kilimanjaro.....
Nawasilisha....