Rion Jr
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 580
- 608
Nmefuga chotara , kienyeji, broiler ila na fikiri wa mayai watakuwa bora zaid kama unamtaji mzur maana soko la mayai sio gumuNa je, kwa anayefaham....ningeomba kujua kibiashara ni yupi kati ya hawa (kienyeji, broiler/nyama, mayai, au chotara) ni bora zaidi kuliko wengine kwa kuzingatia vigezo vyote muhimu kama gharama za ufugaji n.k.....??!!!