SOVIET UNION
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 510
- 1,402
Habari wakuu,
nahitaji sana hawa kuku aina ya KARI nasikia wanataga sawa sawa na kuku wa kisasa wa mayai na wako developed na Serikali ya Kenya. Naomba mwenye nao au mwenye contact za CHasha make ndo nimeambiwa anao huko Arusha
nahitaji sana hawa kuku aina ya KARI nasikia wanataga sawa sawa na kuku wa kisasa wa mayai na wako developed na Serikali ya Kenya. Naomba mwenye nao au mwenye contact za CHasha make ndo nimeambiwa anao huko Arusha