Mkiliman
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 984
- 345
Wanajamvi,
Sisi wakazi wa Tabata na maeneo mengine tumekosa umeme tangu saa 2 asbh leo, tar 07/09/13, hadi muda huu, saa 3 usiku.
Hapakuwepo tangazo la awali la katizo la umeme, labda kama walitangaza nami sikupata kusikia au kusoma popote.
Kwahiyo, kama kuna mtu mwenye taarifa za katizo la umeme au tatizo lolote lililopelekea giza nene, tafadhali tujulishane maana haifai hali ni mbaya.
Sisi wakazi wa Tabata na maeneo mengine tumekosa umeme tangu saa 2 asbh leo, tar 07/09/13, hadi muda huu, saa 3 usiku.
Hapakuwepo tangazo la awali la katizo la umeme, labda kama walitangaza nami sikupata kusikia au kusoma popote.
Kwahiyo, kama kuna mtu mwenye taarifa za katizo la umeme au tatizo lolote lililopelekea giza nene, tafadhali tujulishane maana haifai hali ni mbaya.